Cover Image
close this bookHam volume 8 - Jarida la mabadiliko na uimarishaji wa sekta ya Afya Tanzania (Wizara ya Afya, 1998, 38 p.)
View the document(introduction...)
View the documentViongozi wapya Wizara ya Afya
View the documentTahariri
View the documentChiduo asisitiza umuhimu wa mabadiuko ya sekta ya afya
View the documentMkutano wa waganga wakuu wa mikoa 1998
View the documentMfumo wa afya wa wilaya
View the documentChangamoto mpya kwa afya ya jamii
View the documentMfumo wa taarifa kwa ajili ya uendeshaji
View the documentMagonjwa Mapya ya kuambukiza na yanayojirudiarudia
View the documentUgonjwa wa Kisukari
View the documentMabadiliko ya idadi ya watu Tanzania
View the documentSera ya idadi ya Watu
View the documentIdadi ya Watu na Mazingira
View the documentTaarifa ya ongezeko la Wazee Duniani
View the documentMatatizo ya wazee katika jamii
View the documentUnapata uzoefu gani kutokana na maelezo ya kazi za mganga wa wilaya huyu?
View the documentJitihada za Kimataifa za kupambana na ugonjwa wa Malaria
View the documentShirika la afya duniani na mapambano dhidi ya Ukimwi
View the documentUsalama wa damu ni muhimu kudhibiti ukimwi
View the documentAthari ya Ukimwi Wilayani Makete
View the documentChangamoto za kimaadili na haki za binaadamu zinazowakabili wafanyakazi
View the documentWanawake na watoto ni sehemu muhimu katika jamii
View the documentHuduma ya Wakunga wa jadi Tanzania
View the documentAthari za Tumbaku, pombe na madawa kwa mama mjamzito
View the documentBushi
View the documentMabadiliko ya muundo wa uendeshaji wa Shirika la Afya Duniani (WHO)
View the documentKilio cha wakimbizi na maisha ya kifamilia
View the documentWafadhili na Maskini
View the documentMatangazo
View the documentChemsha maji yako
View the documentMaadili ya PCB (Cost of Conduct)
View the documentKisa cha mtaalam wa afya kwa jamii
View the documentKinyume

(introduction...)

HAM

VOLUME 8

NO. 3 1998

ISSN 0856-395

MADHUMUNI

Kuwasiliana na jamii kwa lengo la:

· Kuelimisha wafanyakazi wa afya wa ngazi mbalimbali pia wafanyakazi wa sekta nyingine na wananchi kwa jumla kuhusu mambo ya mabadiliko na uimarishaji wa sekta ya afya.

· Kuwapa fursa wasomaji kujadili au kutoa maoni yao kuhusu mambo mbalimbali yanayoweza kusaidia kuboresha utoaji wa huduma za afya nchini.

· Kuwafahamisha juu ya matukio mapya katika fani ya afya.

· Kuhamasisha umma kutambua wajibu wao katika kuinua hali ya afya kwa juhudi zao wenyewe.

MAKALA

Tunapokea na kuchapisha makala, habari za matukio, picha au maoni kutoka kwa wasomaji. Tunazingatia mamboya mabadilikona uimarishajiwa huduma za afya kwa jamii. Makalahizo zinaweza kuwa juu ya mambo mbalimbali katika fani ya afya kama:-

· Utekelezaji wa mpango wa kuleta mabadiliko katika sekta ya afya.
· Utekelezaji wa vipengele mbalimbali vya Huduma za Afya ya Msingi.
· Shughuli za mipango/miradi ya Wizara ya Afya.
· Maoni kuhusu muundo na uonaozi wa sekta ya afya katika ngazi mbalimbali.
· Juhudiza wananchi wenyewe katika masuala ya kuboresha afya zao.
· Mashairi na vikaragosi.

Mkazo wetu pia ni wakuandika kuhusu juhudi za kushirikisha jamii na sekta nyingine katika masuala ya kufanikisha utoaji wa Huduma ya Msingi.

USAMBAZAJI

Jarida hili husambazwa kwenye mikoa yote ya Tanzania. Njia mojawapo inayotumiwa ni usambazaji kwa kufumia utaratibu wa kupeleka masanduku ya dawa muhimu kwa kupitia Idara Kuu ya Dawa (MSD).

Zahanati, Vituo vya Afya na Hospitali hupatiwa nakala za jarida hili kupitia kwenye Ofisi ya Mganga Mkuu wa Wilaya (DMO).

Hospitali za Rufaa hupatiwa nakala zao moja kwa moja.

Nakala nyingine husambazwa kwenye Wizara nyingine, na Maktaba. Baadhi ya miradi inayoshughulikia huduma za Afya ya Msingi huagiza nakala nyingi (kwa kulipia) na kuzisambaza kwenye sehemu zao zinazowahusu.

Picha ya Jalada:



Mbele:

Wajumbe wa mkutanowa mwaka wa Waganga Wakuu wa Mikoa uliofanyika mkoani Mtwara.



Nyuma:

Maelezo kuhusu ongezeko la idadi ya watu.



MHARIRI

G. K. Mtavangu



WAHARIRI WA MAKALA

WASANII

E. Nchimbi

A. D. R. Samki

F. Lubuva

P. Gustav

N. Jabir


T. Ndziku


Jarida hili hutolewa na Wizara ya Afya na Kuchapishwa na Colour Print (T) Limited.


Uongozi wa watu? Nenda taratibu, Vunja hilo fimbo kubwa!

HAM:

Jarida hili linatolewa na Wizara ya Afya, Sekretarieti ya Mpango wa Mabadiliko ya Uimarishaji wa Sekta ya Afya Tanzania, kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Denmark (DANIDA).